test

Sunday, July 10, 2016

HAMISA Mobeto Afunguka Tuhuma za Kutoka na Diamond Kimapenzi Zilizoenea Mtandaoni



Hamisa Amefunguka haya baada ya tetesi kuzagaa mtandaoni kuwa yeye ndio chombo kipya cha Diamond baaada ya kuonesha ukaribu zaidi na familia ya Dai:

"Eti Mdau anauliza kama ilikuwa kazi mbona hukupiga picha na Madam Zari?
Chaaaa!!! From @hamisamobetto - Binadaamu banaa.......
Now days U cant work with anyone wala kua close na yoyote just because unaogopa maneno yatakayo zuka after hiyo shughuli ...
@kendrah_michael @_esmaplatnumz
A birthday to remember 2016
#MamasBigDay ....... Na nshaanza kupokea emails za kazi ety...haya kama unataka upendezeshwe na Hamisa mobeto ung'are sherehe yako iwee ya kuvutia kindly contact me kwa email ya apo kwenye Bio
#HapaKaziTu ...Cc the boss @diamondplatnumz"
TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU