test

Monday, July 11, 2016

Mtoto wa Aliyekuwa Kiongozi wa Al-Qaeda, Osama bin Laden, Hamza Bin Laden Aapa Kulipiza Kisasi



Mtoto wa aliyekuwa kiongozi wa Al-Qaeda, Osama bin Laden, Hamza bin Laden ameapa kulipiza kisasi kwa Marekani kwa kumuua baba yake.

Ameapa kuliendeleza kundi hilo, amesema wako kwenye mpango wa kutekeleza shambulizi lingine linalofanana na lile la Septemba 11, 2001
TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU