test

Friday, May 11, 2018

Shirika Linalotetea Watu Wanaotaka Kufa Limetangaza Kifo cha Mwanasansi David Goodal Aliyejiua kwa Sumu

Shirika Linalotetea Watu Wanaotaka Kufa Limetangaza Kifo cha Mwanasansi David Goodal Aliyejiua kwa Sumu
Mwanasayansi David Goodall mwenye miaka 104, aliyesafiri kutoka Australia hadi Uswizi ili kujitoa uhai amefariki May 10, 2018 usiku katika kliniki moja nchini Uswizi, shirika linalotetea haki za watu wanaotaka kufa limetangaza.

Mwanaikolojia huyo ambaye pia alikuwa mtaalamu wa mimea hakuwa anaugua lakini alisema kuwa aliamua kujitoa uhai kutokana na kudhoofika kwa ‘ubora wa maisha yake’.

Uswizi, ni nchi pekee iliyo na vituo vinavyotoa huduma hiyo kwa raia wa mataifa mengine, huduma ambayo inaruhusu watu kujitoa uhai.

0 comments:

Post a Comment

TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU