Kupitia mobetostyle kwa Mara ya kwanza mbongo muvi aunty Ezekiel
alipendeza sana kwa vazi La heshima alilovaa kwenye uzinduzi wa film
yake inayoitwa MAMA ktk ukumbi wa Mlimani City, kwa kweli umejitahidi
mnoo!
Aunty alipendeza haswaa akanoga,akaonogeka katika siku yake adhimu.
Hongera sana kwa kufungua kiwanda cha ushonaji(Tanzania ya viwanda)naona
unapiga hatua kubwa sanaa kimaendeleo na nimeona pia umevalisha mamiss
ifm 2018,ni jambo zuri wadada wa wadogo kama wewe ambao mko chini ya
miaka 30 mkifanya jitihada za kimaendeleo kama hizo.
hamisamobetto_BizPjA8HkzS.jpg
Hongera sana kwa wadada wa bongo movie pia kwa kuweza kuamua
kujishughulisha na biashara tofauti tofauti na kusapotiana katika kazi
zenu.
Nimekupenda bure we mdada na Mungu abariki kazi halali ya mikono yako!!
SIGNATURE
One step at a time!
Thursday, May 17, 2018
Hongera Hamisa Kwa Kumpendezesha Aunty Ezekiel
Related Posts:
Nay Wa Mitego: Nitawamisi saaana!!! Rapa Nay wa Mitego ambaye amefungiwa kujihusisha na shughuli za muziki na Baraza la sanaa nchini BASATA, amaefunguka na kudai kuwa atazimis shughuli alizokuwa akizifanya. Kupitia ukurasa wake wa instagram, Mitego ameweka… Read More
Nay wa Mitego Apiga Magoti Nakuwaomba Msamaha Watanzania “Wakati naandika wimbo “Pale Kati” nilikua nimeangalia nyimbo zilizowahi kutoka nyuma na zilizoko sokoni sasa, sikuona kama mistari yake ina matatizo. Lakini baada ya kukaa pamoja na kusikiliza mstari kwa mst… Read More
Gigy Money, Idris Mahaba Niue! IMEVUJA! Baada ya hivi karibuni penzi la Wema Sepetu na Idris kusambaratika, mwanadada Gift Stanford ‘Gigy Money’ amedaiwa kuchukua nafasi na sasa ni mapenzi motomoto. Chanzo makini kililiambia gazeti hili k… Read More
Nay wa Mitego Aanza Kuuza Mkaa Baada ya Kufungiwa Muziki...Tazama Video Hapa Mchekeshaji Stan Bakora ameendelea na utani wake ambapo Ijumaa hii ameachia video ya kumdhihaki rafiki yake Nay wa Mitego baada ya kufungiwa na BASATA. TAZAMA VIDEO: … Read More
Mwanamuziki wa Kenya Avril Apangua Tuhuma za Kutoka Kimapenzi na Diamond Platnumz Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Judith Mwangi 'Avril' ambaye alicheza kama video queen kwenye wimbo wa Diamond Platnumz 'Kesho' amefunguka na kusema hakuwahi kutoka kimapenzi na Diamond Platnumz kama a… Read More
TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU
0 comments:
Post a Comment