Tupia neno kwake
Sunday, July 31, 2016
Nay wa Mitego Apiga Magoti Nakuwaomba Msamaha Watanzania
By jungukuuleo 10:43:00 PM
“Wakati naandika wimbo “Pale Kati” nilikua nimeangalia nyimbo zilizowahi kutoka nyuma na zilizoko sokoni sasa, sikuona kama mistari yake ina matatizo. Lakini baada ya kukaa pamoja na kusikiliza mstari kwa mstari tumegundua kwamba kuna baadhi ya mistari ilikua ina maneno makali. Hivyo basi naomba radhi kwa mtu yeyote aliyeumizwa na mistari hiyo." - Nay wa Mitego
Tupia neno kwake
Related Posts:
Music: Ney Lee – Namba Moja Msanii Ney Lee baada ya kimya ameachia wimbo mpya unaitwa “Namba Moja”, Studio Mazuu Records sikiliza na download hapa. >>>>>>>>>>>>> DOWNLOAD HAPA<<&l… Read More
JACK Wolper Adaiwa Kunasa Mimba! Habari ya mjini! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe, anadaiwa kunasa ujauzito wa mwandani wake ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ hivyo yupo mbioni kutimiza ndoto ya… Read More
HATIMAYE Wema Sepetu Amtaja Petit Man Kuwa Ndio Alisababisha Wasanii wa Endless Fame Wasifanye Vizuri Malkia wa filamu na mkurugenzi wa Endless Fame, Wema Sepetu amefunguka na kueleza sababu ya wasanii wa label hiyo kutofanya vizuri. Akiongea katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatatu hii, Wema amesema m… Read More
Post ya Mama yake Diamond Platnumz Kuhusu Wema Sepetu Jana Jumapili Mama mzazi wa msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz amempost Wema Sepetu ambaye alikuwa ni girlfriend wa zamani wa Diamond Platnumz kwenye page yake ya Instagram na Kuandika yafuatayo: kendrah_… Read More
Mashabiki wa Wema Sepetu waushangilia uamuzi huu wa Diamond Hakuna kitu ambacho mashabiki wa Wema Sepetu wanakipenda kama kuona kuwa kuna amani kati yake na Diamond. Pamoja na kuwepo kwa tension kubwa kati ya wawili hao licha ya kila mmoja kuwa na hamsini zake sasa – yaani Diamond… Read More
TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU