Tupia neno kwake
Sunday, July 31, 2016
Nay wa Mitego Apiga Magoti Nakuwaomba Msamaha Watanzania
By jungukuuleo 10:43:00 PM
“Wakati naandika wimbo “Pale Kati” nilikua nimeangalia nyimbo zilizowahi kutoka nyuma na zilizoko sokoni sasa, sikuona kama mistari yake ina matatizo. Lakini baada ya kukaa pamoja na kusikiliza mstari kwa mstari tumegundua kwamba kuna baadhi ya mistari ilikua ina maneno makali. Hivyo basi naomba radhi kwa mtu yeyote aliyeumizwa na mistari hiyo." - Nay wa Mitego
Tupia neno kwake
Related Posts:
[VIDEO]BREAKING NEWSS::VIDEO MPYA YA YAMOTO BAND YAITIKISA MITANDAO YA KIJAMII,TAZAMA HAPA KAMA BADO HUJAIONA TAZAMA HAPA>>>>>>>>>>>>>>>. … Read More
Msanii Ray C Apewa Msaada na Jeshi la Polisi ya Baada Kuzidisha Madawa ya Kulevya Msanii wa muziki Rehema Chalamila a.k.a Ray C usiku wa jana alikamatwa na jeshi la polisi maeneo ya Kinondoni Manyanya almaarufu ‘Kinondoni kwa Mpemba’ jijini Dar es salaam baada ya kuzidisha madawa ya kulevya na… Read More
The five richest Bongo Flavour artistes NASEEB ABDUL (DIAMOND) He stayed in the shadows for long looking for a break but now that the limelight has been trained on him, he has proved that he belongs at the top of the music charts. He finally made a debut in … Read More
Ray McDonald's Top 5 Countdown for Week Ending June 4>>>>DOWNLOAD HERE These are the five most popular songs in the BillboardHot 100 Pop Singles Chart, for the week ending June 4, 2016. In and out, here and then gone…the musical deck really gets shuffled in this week’s lineu… Read More
DOWNLOAD NEW SONG YAMOTO FT RUBBY...SUU>>>CLICK HERE! … Read More
TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU