Raisi wa Rwanda mh. Paul Kagame akihutubia katika maonyesho ya sabasaba
amesema muda wote anapokua Tanzania anajisikia yupo nyumbani na kusema
sera ya hapa kazi tu na kuongeza kuwa tuendelee na kazi.
Sunday, July 3, 2016
Home »
SIASA
» Rais Paul Kagame: Nikiwa Tanzania najisikia nipo Nyumbani, HAPA KAZI TU - Tuendelee na kazi
Rais Paul Kagame: Nikiwa Tanzania najisikia nipo Nyumbani, HAPA KAZI TU - Tuendelee na kazi
By jungukuuleo 2:23:00 AM
Related Posts:
Mwagizaji Jack Wolper Atoa Sababu zilizomfanya Kuisaliti Chadema na Kurudi CCM "Nimefanya haya baada ya kuona kile nilichokuwa nakitaka kwenye nchi yangu Rais Magufuli anakifanya, kwanini niichukie CCM? naipenda CCM na CCM ndio nyumbani." – Jackline Wolper Toa maoni yako … Read More
KAHAMA KWA WAKA MOTO:Lembeli, Kuhama msikiti siyo kuacha Uislamu. Mbunge wa zamani wa jimbo la Kahama, James Lembeli aliyehamia Chadema ameibuka leo katika mkutano wa Rais John Magufuli uliofanyika mjini Kahama.Akihutubia wananchi wa Kahama, Rais Magufuli amemkaribisha Lembeli na k… Read More
Lowassa Atofautiana na Chadema, Ampa Sifa Rais Magufuli... Lowassa KWA mara ya kwanza,mara baada ya uchaguzi mkuu kuisha mwaka jana ,Aliyekuwa Mgombea Urais wa CHADEMA,Edward Lowassa leo hii amefunguka na kukiri juu ya uwezo wa JPM katika kutenda kazi. Lowassa ambaye le… Read More
KAHAMA MPOOO: Rais Magufuli kuhutubia mkutano wa hadhara Jumapili KESHO Wilayani Kahama Rais John Magufuli anatarajia kufanya ziara wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambako atafanya mkutano wa hadhara kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura nyingi katika Uchaguzi Mkuu uliopita. Mkuu wa Wilaya… Read More
Magufuli: Wapinzani Walisusia Vikao Vya Bunge Kwa Sababu Wanajua na Wao ni Part ya Mafisadi.....Naahidi Ntawanyoosha!!!! Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli jana July 29 2016 alianza ziara ya siku nne katika mikoa ya Singida, Tabora, Shinyanga na Geita akitokea mkoani Dodoma ambapo alizungumza na wananchi k… Read More
TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU