Raisi wa Rwanda mh. Paul Kagame akihutubia katika maonyesho ya sabasaba
amesema muda wote anapokua Tanzania anajisikia yupo nyumbani na kusema
sera ya hapa kazi tu na kuongeza kuwa tuendelee na kazi.
Sunday, July 3, 2016
Home »
SIASA
» Rais Paul Kagame: Nikiwa Tanzania najisikia nipo Nyumbani, HAPA KAZI TU - Tuendelee na kazi
Rais Paul Kagame: Nikiwa Tanzania najisikia nipo Nyumbani, HAPA KAZI TU - Tuendelee na kazi
By jungukuuleo 2:23:00 AM
Related Posts:
UKAWA Wakubaliana kuwanyima mafuta wakuu wa wilaya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameagiza wenyeviti wa halmashauri 18 nchini zinazoongozwa na Ukawa kuacha utaratibu wa kutoa fedha za halmashauri kuwasaidia mafuta ya magari wakuu wa wilaya au kuzitumia kwa ajili y… Read More
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe Awazuia Vijana wa Chadema ( BAVICHA ) Kwenda Dodoma Kuzuia Mkutano wa CCM Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametangaza kusitisha mpango wa vijana wa chama hicho kwenda Dodoma kuzuia Mkutano Mkuu wa CCM ili kuepusha maafa ambayo yanaweza kutokea. Badala yake, Mbowe amesema wataendelea kusak… Read More
India yaipatia Tanzania dola milioni 500 za Kimarekani kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo India imeipatia Tanzania dola za Kimarekani milioni 500 kwa ajili ya miradi ya maendeleo ili kukuza ushirikiano wa kiuchumi baina nchi hizi mbili. Hayo yamesemwa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa T… Read More
Waziri wa Fedha Dr Philip Mpango Akemea Wanaopotosha Taarifa za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika huduma za utalii WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango, amekemea wanaopotosha taarifa za Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika huduma za utalii. Amesema kodi hiyo iliwekwa miaka miwili iliyopita; na serikali haina sababu y… Read More
Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan awataka wanawake kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesema ukuosefu wa fedha, taarifa pamoja na ujuzi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ni vikwazo vinavyoendelea kuongeza umaskini nchini… Read More
TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU