Raisi wa Rwanda mh. Paul Kagame akihutubia katika maonyesho ya sabasaba
amesema muda wote anapokua Tanzania anajisikia yupo nyumbani na kusema
sera ya hapa kazi tu na kuongeza kuwa tuendelee na kazi.
Sunday, July 3, 2016
Home »
SIASA
» Rais Paul Kagame: Nikiwa Tanzania najisikia nipo Nyumbani, HAPA KAZI TU - Tuendelee na kazi
Rais Paul Kagame: Nikiwa Tanzania najisikia nipo Nyumbani, HAPA KAZI TU - Tuendelee na kazi
By jungukuuleo 2:23:00 AM
Related Posts:
Waziri Mkuu: Tumeanza kutafuta muwekezaji mwingine mradi wa mabasi yaendayo haraka (Udart). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ili kupunguza tatizo la usafiri jijini Dar es Salaam, Serikali itawashirikisha Chama cha Wamiliki wa Daladala (UWADAR) ili kuwa miongoni mwa watoa huduma katika mradi wa mabasi yaen… Read More
Maneno ya Nape baada ya Sugu kutoka gerezani Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amemkaribisha uraini Mbunge wa Mbeya Mjini,Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ baada ya kutoka gereza la Ruanda alipokuwa akitumikia kifungo chake . Nape amesema kuwa anakumbuka Mbunge huyo a… Read More
Rais Magufuli Abaini Tatizo Kubwa Wizara ya Maji na Wizara ya Ardhi.....Atoa Maagizo Mazito Rais Dkt. John Magufuli ameagiza wataalamu wote wa idara za maji katika halmashauri zote nchini kusimamiwa moja kwa moja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji ili kuimarisha usimamizi wa shughuli zinazofanywa… Read More
Magereza: Sugu Ametoka kwa msamaha wa Rais Jeshi la Magereza limesema mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu Sugu ametoka kwa msamaha wa Rais John Magufuli alioutoa kwa wafungwa katika maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzi… Read More
Sugu Azungumza Baada ya Kuachiwa Kutoka Gerezani Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ambaye ameachiwa huru leo Mei 10, 2018 kutoka katika Gereza la Ruanda jijini Mbeya alikokuwa amefungwa na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga, am… Read More
TANGAZA HAPA KWA BEI NAFUU