
TAMASHA
la ''Lady in Red'' lafanyika Dar wabunifu na wanamitindo chipukizi
wapatiwa tuzo kama pongezi ya Sekta ya ubunifu na wanamitindo kutambua
mchango wao.Mkurugenzi
wa Kampuni ya Hugo Domingo, Mario Frenandes akizungumza wakati wa
tamasha hilo amesema kuwa waandaji wa onyesho hilo kwa Msimu wa pili wa
"Lady in Red limekuwa moja ya jukwaa linalotoa fursa...